Latest Sermon
play_circle Latest Sermon

IBADA YA JUMATANO | 4 MACHI 2026 | 2026 | KINONDONI REVIVAL CHURCH

IBADA YA JUMATANO | 4 MACHI 2026 | 2026 | KINONDONI REVIVAL CHURCH

Ibada Zetu
church
Ibada ya Jumapili
notifications
Matangazo
Kila Jumapili 7:00 AM & 10:00 AM
location_on

Mtaa wa Kinondoni Dunga

Dar es Salaam

Sisi ni jumuiya
ya Imani na Upendo

Tupo kuwaongoza watu katika uhusiano unaokua na Yesu Kristo. Sisi ni kanisa linaloamini Biblia, lililojitoa kwa ibada ya moyo, uanafunzi, na kulitumikia jiji letu la Dar es Salaam.

Iwe unachunguza imani au unatafuta kanisa la nyumbani, utapata jumuiya ya ukaribisho kwa familia, vijana, na watu wa kila hali ya maisha.

Ibada ya Kanisa
favorite

Jiunge Nasi

Tukilitumikia jamii ya Kinondoni

Jiunge Nasi Wiki Hii

schedule

Ibada za Jumapili

Saa 1:00 Asubuhi na Saa 4:30 Asubuhi

history_edu

Ibada ya CMF na WWK

Jumatatu Saa 10:30 Jioni

history_edu

Mkesha wa Maombi

Jumanne Saa 1:00 Usiku - Saa 4:00 Usiku

history_edu

Ibada ya Katikati ya Wiki

Jumatano Saa 10:30 Jioni

history_edu

Ibada ya Vijana ya CAs

Alhamisi Saa 11:00 Jioni

history_edu

Mkesha Wa Ijumaa

Duru ya Kwanza 07:00 Usiku - 4:00 Usiku, Duru ya Pili 4:00 Usiku - 10:00 Asubuhi

Nini cha Kutegemea

Unakuja kwa mara ya kwanza? Haya ndiyo unayohitaji kujua kuhusu ibada zetu.

checkroom

Nivae nini?

Njoo ulivyo. Watu wengi huvaa smart casual, lakini unakaribishwa katika mavazi yoyote unayojisikia vizuri.

timer

Ibada huchukua muda gani?

Ibada zetu kwa kawaida huchukua takriban dakika 90, zikiwa na ibada, maombi, na ujumbe wenye msaada wa maisha.

child_care

Idara ya Watoto?

Tuna mazingira salama, ya kufurahisha, na yenye kuwajenga watoto wako kumjua Mungu wakati wewe unahudhuria ibada.

Tufatilie Mtandaoni

Huwezi kuungana nasi ana kwa ana? Pata ibada zetu mtandaoni.

Ujumbe wa Hivi Karibuni

IBADA YA JUMATANO | 4 MACHI 2026 | 2026 | KINONDONI REVIVAL CHURCH

person Kinondoni Revival Church

calendar_today May 23, 2026

"IBADA YA JUMATANO | 4 MACHI 2026 | 2026 | KINONDONI REVIVAL CHURCH"

Angalia Sasa arrow_forward

Karibu Nyumbani

Askofu Dkt. Rogathe Swai | Mchungaji Kiongozi

"Kwa niaba ya kusanyiko takatifu la wakristo wa Kanisa la Uamsho la Kinondoni, Mimi Mchungaji Kiongozi Askofu Dkt. Rogathe Z. Swai kwa furaha na uhakika napenda kumthibitishia kila Mtanzania, wageni na watu wote katika sayari hii ya dunia yetu kwamba, kwa neema ya Mungu kanisa letu limefanyika kuwa ‘’Mahakama ya Rufaa na “Hospitali ya Rufaa’’ kwa watu wenye shida, mateso, vifungo vya nguvu za giza. Zaidi, Mungu amelifanya Kanisa kuwa ‘’Nyumba ya Nuru’’ kutoa ufahamu na hekima ya Ki Mungu kwa Watakatifu wengi na pia faraja kwa Wahitaji kimaisha. Kwa sababu hizi na nyingine nyingi, mimi Mchungaji Kiongozi kwa niaba ya kanisa, tunawakaribisha wote kujumuika nasi katika ibada zetu za sifa, mahubiri, maombi na maombezi na mafundisho yaliyojaa kweli kuu za injili ya Kristo Yesu pamoja na upako mwingi wa nguvu zitendazo kazi za Roho Mtakatifu wa Mungu aishiye katika maisha ya watu wake."

Zaidi, Mungu amelifanya Kanisa kuwa ‘’Nyumba ya Nuru’’ kutoa ufahamu na hekima ya Ki Mungu kwa Watakatifu wengi na pia faraja kwa Wahitaji kimaisha. Kwa sababu hizi na nyingine nyingi, mimi Mchungaji Kiongozi kwa niaba ya kanisa, tunawakaribisha wote kujumuika nasi katika ibada zetu za sifa, mahubiri, maombi na maombezi na mafundisho yaliyojaa kweli kuu za injili ya Kristo Yesu pamoja na upako mwingi wa nguvu zitendazo kazi za Roho Mtakatifu wa Mungu aishiye katika maisha ya watu wake."

"Maono yetu na mwelekeo(our focus) wetu ni kumhubiri Kristo Yesu kwa Taifa la Tanzania na kwa watu wa kizazi chetu ili kumvunia Mungu wetu mavuno mengi, kisha kuwafundisha waaminio juu ya maisha ya Ibada ya kweli na utumishi wa bidii na uaminifu kwa Bwana wakati huohuo kanisa likeshe, kuwa macho kumngoja Bwana Yesu kwa maana ya kusubiri kurudi kwa mara ya pili. Jiunge nasi katika safari ya imani."

Mchungaji Kiongozi
church

Idara Zetu

Pata nafasi yako ya kuhudumu na kukua

CMF

CMF

Maono ya kuwako kwa Ushirika wa Wanaume Wakristo, yaani Christian Men’s Fellowship (CMF) una historia ndefu katika TAG. Kwanza, wazo lilianza kama shauku ya uongozi wa Kanisa kitaifa, Pili, ilitokana na hitaji la wanaume wenyewe, na vilevile lilikuwa ombi la muda mrefu kutoka kwa Idara ya Wanawake Watumishi wa Kristo (W.W.K) wa kanisa letu. Mwaka 2008, wakati wa awamu ya tatu ya uongozi wa kanisa chini ya Askofu Dr. Barnabas Mtokambali, TAG ilitengeneza Dira ya Maendeleo ya Kanisa ya utekelezaji wa miaka kumi ya mavuno. Katika Eneo C linalosema “Inua viwango vya Ibada ya binafsi na pamoja”, kipengele cha C4:5-kina mkakati unaosema, “Anzisha Idara ya Wanaume”.

Jifunze Zaidi arrow_forward
WWK

WWK

Idara ya Wanawake imeanzishwa kwa mujibu wa ibara ya 20 sehemu ya 7 ya katiba ya Tanzania Assemblies of God. Hivyo kutokana na msingi huo Idara ya WWK imeandaa taratibu na muongozo wa Idara ya WWK kwa msingi wa kuongoza na kusimamia shughuli zote za Idara hii.

Jifunze Zaidi arrow_forward
CA's

CA's

Jina la Idara ni Tanzania Assemblies of God - Christ's Ambassadors (CA's); Yaani ikiwa na maana ya Vijana mabalozi wa Kristo.'Kimsingi ni Idara ya Vijana'.

Jifunze Zaidi arrow_forward
Watoto

Watoto

Idara ya Watoto na Wanafunzi ni Idara ndani ya kanisa la TAG, lilianzishwa rasmi Mwaka 1994 kufuatia mkutano wa viongozi wa Kanisa la Assemblies of God, barani Afrika, “Africa Assemblies of God Alliance” (AAGA) uliofanyika Nairobi, nchini Kenya mwaka mwaka 1993. Idara hii ilianzishwa ikiwa ni utekelezaji wa maazimio muhimu katika mkutano huo wa (AAGA). Mwaka huo wa 1994 kanisa la TAG lilikuwa linaongozwa na Askofu Mkuu Rev. Ranwell Mwenisongole na alimteua marehemu Mchungaji Joseph Justine kuwa Mkurugenzi Mkuu. Kadhalika, marehemu Mchungaji Jeremiah Kimaro aliteuliwa kuwa Makamu Mkurugenzi Mkuu na Mch. Everhard Mloka kuwa Katibu Mkuu. Huo ndio ukawa mwanzo mzuri wa Idara hii.

Jifunze Zaidi arrow_forward

Matukio Yajao

Usikose yanayoendelea kanisani kwetu

event_busy

Hakuna matukio yajayo kwa sasa

format_quote

"Kanisa hili limesaidia familia yangu kukua kiroho na kupata jumuiya ya kweli ya waumini."

- Mwanachama wa Kanisa

format_quote

"Watu wakarimu, ibada yenye nguvu, na mafundisho imara ya Biblia yanayobadilisha maisha."

- Mgeni wa Mara ya Kwanza

format_quote

"Mahali ambapo imani huwa halisi na hai kupitia kulitumikia jamii yetu ya karibu."

- Mjitoleaji

Shirikiana Nasi Katika Utume

Ukarimu wako unawezesha huduma, ufikishaji, na uenezaji wa Injili ndani ya Dar es Salaam na kwingineko. Pamoja, tunaleta athari ya milele.

volunteer_activism Toa Sadaka kwa Usalama
Sadaka
heart_plus

Jiunge Nasi Jumapili Hii

"Tunakualika kwa moyo wote kuabudu pamoja nasi. Pata upendo wa Mungu, ushirika na waumini, na ukue katika imani yako ndani ya jumuiya inayojali."