arrow_back
All Announcements
weekly
push_pin
Pinned
Matangazo ya Kanisa 11 – 17 MEI 2026
calendar_today
May 08, 2026
person
Super Admin
picture_as_pdf
Attachment Available
qYMSeKalDeIrY835BNlBhydtzUbmKAz7Rx3hRYsA.pdf
VIONGOZI WA ZAMU
11 –17 MEI 2026
MCHUNGAJI
REV. WITNESS SWAI 0629 534 530
MZEE WA KANISA:
MRS. THERESIA MWABUSILA
WAZEE NA MAKATIBU WAO WATAKAOKU
WA ZAMU, KUABUDU IBADA ZOTE MBILI
SIKU YA JUMAPILI IJAYO TAREHE
17/05/2026:
MR. JOSEPH MAMUYA
MRS. NATUJWA WINZAH
MRS. THERESIA MWABUSILA
MASHEMASI WA ZAMU:
MR. CASTORY KUTIKA
MR. CLEMENT ZONGELA
MR. DAIMA LYOVA
MISS. DORAH MREMA
ZAMU ZA WATENDAJI
Watendaji wote wa kundi la YERIKO mtakuwa zamu ya
mfungo na maombi siku ya Jumamosi ijayo ya tarehe
16/05/2026. Watendaji wote waliopo maeneo ya Mch
Bryson Kitoi, Mrs Natujwa Winzah, Mr. Mathias
Msangi na Dr. Christian Mollel.
TANGAZO
Wazee wote wenye mitaa mnahimziwa
kutembelea vituo vyenu vya HBCF ili kujua
maendeleo ya vituo hivyo na kuviimarisha,
wakisaidiana na makatibu pamoja na mashemasi
SEMINA YA UAMSHO KWA KANISA
ZIMA
Kutakuwa na semina ya uamsho kuanzia tarehe 24
– 31 Mei 2026.Kila mshirika ajiandae kuinuliwa
kiroho, kiuchumi, kibiashara kupitia semina hiyo.
Kwaya zote , Praise team pamoja na kamati ya
maombi zijiandae.
SEMINA YA UAMSHO KWA KANISA
ZIMA
Kutakuwa na semina ya uamsho kuanzia tarehe 24
– 31 Mei 2026.Kila mshirika ajiandae kuinuliwa
kiroho, kiuchumi, kibiashara kupitia semina hiyo.
Kwaya zote , Praise team pamoja na kamati ya
maombi zijiandae.
MICHANGO YA FEDHA ZA UJENZI
MICHANGO YA FEDHA ZA UJENZI
1.Kwa neema ya Mungu ujenzi wa kanisa letu unaendelea, hivyo unatiwa moyo wewe uliye ahidi mchango
wa ujenzi kwa awamu hii ya sita kutoa au kupunguza
ahadi yako ili kazi ya ujenzi iendelee, mwisho wa
kuchangia awamu hii ni mwezi Januari 2026.
Kumjengea Mungu nyumba ya ibada ni baraka kwako
na kwa vizazi vyako.
2.Unaweza kutuma mchango wako kwenda namba:
015 0020374000 CRDB BANK.
Jina: KINONDONI REVIVAL CHURCH
PAA LA KANISA, MUUJIZA WANGU
HIMIZO LA MIKESHA
Kila mshirika anahimizwa kujitahidi sana kuhudhuria
mikesha yote siku ya Jumane saa 3:30 usiku hadi
8:00 usiku na siku ya Ijumaa saa 4:00 usiku hadi saa
10:00 Alfajiri. Ukishindwa kuhudhuria mikesha yote,
chagua mkesha mmoja.Kukesha na kuomba ni Agizo
la Bwana mwenyewe; Hivyo, kila mshirika ajitahidi
kutii. Kesha kipindi cha Amani na furaha ili Amani
iendelee kudumu kuliko kukesha baada ya Amani
kutoweka.
MAOMBI YA MNYORORO KUOMBEA
AFYA YA MCHUNGAJI KIONGOZI
Kuanzia kesho Jumatatu tarehe 11 Mei 2026
hadi Jumapili ya tarehe 17 Mei 2026, maeneo yafuatayo yatasimama katika zamu ya kuomba kwa
ajili ya Mchungaji Kiongozi:
Jumatatu– uzee wa Mr. Alfa Byamungu
Jumanne– uzee wa Mr.P.Tarimo&Mrs Winzah
Jumatano– uzee wa Mrs. Rhoda Bundara
Alhamis– uzee wa Dr. Christian Mollel
Ijumaa-uzee wa Mrs. Theresia Mwabusila
Jumamosi– uzee wa Dr. Yotham Mackenzie
Jumapili– uzee wa Mr.Mathias Msangi